Michuano ya hatua ya robo fainali ya klabu bingwa barani
ulaya inaendelea hii leo kwa kuzikutanisha timu kubwa nne kutoka ligi kuu tatu
tofauti barani ulaya ambazo ni Ujerumani, Uingereza, Spain, huku tukishuhu timu
tatu kati ya timu nane zilizoingia kwenye hatua ya robo fainali zikitoka kati
la liga.


Kocha David Moyes anategemea kukutana na upinzani mkubwa
kutoka kwa mabingwa hao wa ujerumani kutokana na kikosi walichonacho msimu huu
ambacho kimeweka rekodi ya kuchukuwa ubingwa huku wakiwa na mechi saba mkononi
ikiwa ni chini ya Pep Guadiola.
No comments:
Post a Comment