Baada ya
mechi za jana kutawaliwa na sare hii leo ni zamu ya miamba mine tofauti kutaka
nchi nne tofauti, miamba hiyo ni Real Madrid kutoka spain, atakaye menyana na
Borrusia Dotmund kutoka ujerumani.




Kwa upande
wa Chelsea kocha wake amekaririwa akisema kuwa hii ni mechi yake muhimu sana
baada ya kupoteza mechi ya ligi kuu dhidi
ya crystal palace wiki iliyopita na kufanya watoke kwenye usukanu wa ligi,
mechi zote zitaanza saa 21:45 kwa saa za Afrika mashariki
No comments:
Post a Comment