Wednesday, 2 April 2014

USIKU WA UEFA: MIAMBA TOKA NCHI NNE TOFAUTI NI UJERUMANI, HISPANIA, UFARANSA NA UINGEREZA




Baada ya mechi za jana kutawaliwa na sare hii leo ni zamu ya miamba mine tofauti kutaka nchi nne tofauti, miamba hiyo ni Real Madrid kutoka spain, atakaye menyana na Borrusia Dotmund kutoka ujerumani.

Mchezo mwingine utakuwa ni kati ya Paris st Gemain kutoka ufaransa na watawakaribisha vijana kutoka London hao nsi wengine bali ni Chelsea walio chini ya the special one au Mourinho.

Real Madird wanawakaribisha vijana toka Iduna park arena huku wakiwa na kumbukumbu mbaya ya kuondolewa katika hatua ya nusu fainali ya michuano hii msimu uliopita.



Kwa upande wa Chelsea kocha wake amekaririwa akisema kuwa hii ni mechi yake muhimu sana baada ya kupoteza  mechi ya ligi kuu dhidi ya crystal palace wiki iliyopita na kufanya watoke kwenye usukanu wa ligi, mechi zote zitaanza saa 21:45 kwa saa za Afrika mashariki

No comments:

Post a Comment