Ni blogu inayokupa nafasi ya kujua mengi kuhusiana na michezo kutoka pande zote duniani
Monday, 21 April 2014
BREAKING NEWS- MOYES KUONDOKA OLD TRAFFORD
Kwa habari zilizozagaa kwenye mitandao muda huu,kuna habari inayoelezea kuwa kocha wa Man utd David Moyes huenda akaondoka Old trafford
Bodi ya timu ya manchester wameshindwa kuvumilia suala hili baada ya kipigo cha jana cha 2-0 dhidi ya timu Everton.
Magazeti kama Daily telegraph,daily mail na the guardian yote yameripoti kuhusu habari hii leo hii hivyo huenda Moyes asiweze kumalizia mechi nne zilizobakia.
klabu ya Manchester united mpaka sasa imeshindwa kukanusha juu ya habari hii,na viongozi walipoulizwa walijibu suala la kumfukuza Moyes ni suala suala linaloweza kutolea muda mchache ujao.
mwandishi-ALLY GININGI SHAMBI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment