Monday, 21 April 2014

BREAKING NEWS- MOYES KUONDOKA OLD TRAFFORD






Kwa habari zilizozagaa kwenye mitandao muda huu,kuna habari inayoelezea kuwa kocha wa Man utd David Moyes huenda akaondoka Old trafford

Bodi ya timu ya manchester wameshindwa kuvumilia suala hili baada ya kipigo cha jana cha 2-0 dhidi ya timu Everton.

Magazeti  kama Daily telegraph,daily mail na the guardian yote yameripoti kuhusu habari hii leo hii hivyo huenda Moyes asiweze kumalizia mechi nne zilizobakia.

klabu ya Manchester united mpaka sasa imeshindwa kukanusha juu ya habari hii,na viongozi walipoulizwa walijibu suala la kumfukuza Moyes ni suala suala linaloweza kutolea muda mchache ujao.

mwandishi-ALLY GININGI SHAMBI

No comments:

Post a Comment