Tuesday, 22 April 2014

BREAKING NEWS; DAVID MOYES AFUKUZWA RASMI MAN UTD

Kwa taarifa zilizotoka hivi punde ni kuwa aliyekuwa kocha Man Utd amefukuzwa rasmi kunako klabu hiyo
Moyes aliyudumu kwa miezi kumi katika kiti hiko cha ukocha katika klabu hiyo amefukuzwa baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo duni akiwa kama mwalimu wa klabu hiyo.
David Moyes

Moyes ameweza kupoteza mechi sita katika uwanja wa nyumbani msimu huu, huku akiipeleka klabu hiyo nje ya michuano ya klabu bigwa barani ulaya yani UEFA ambapo kwa mara ya mwisho Utd kutoshiriki ilikuwa mwaka 1995.


No comments:

Post a Comment