 |
mashabiki wa everton waliungana na wenzao wa liverpool kuwakumbuka mashabiki waliopoteza maisha katika FC Hillsborough disaster kabla ya mchezo.
|
Klabu ya Everton leo imepunguzwa kasi ya kuweza kuwania nafasi ya nne kwajili ya kushiriki ligi ya mabigwa barani ulaya UEFA baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Crystal Palace na hivyo kurudi nafas ya 5.
Nao Man cty wamelazimishwa sare na sunderland walio kweny nafasi ya
mwisho ya msimamo wa ligi, baada ya kucheza mechi amabayo ilikuwa ni
kiporo kwa timu zote mbili, na sasa Man cty anabaki na alama 71 huku bado akiwa na mchezo mkononi.
 |
wickham akifunga goli la kwanza |
No comments:
Post a Comment